2 Meanings
Add Yours
Follow
Share
Q&A
Nipende Mimi Lyrics
Verse 1
Umeketi, kwa corner, Ukifikiria,
Vile maisha, ya mapenzi, yamekukalia,
Any shoe that, you admire, inawa ndogo kwako dear,
Mpaka sasa, umeamua, peku kutembea,
Umesahau kiatu chako Kipo,
Kimetengezwa tu kwa ajili yako
Hook
Ukiwa kwenye shiida,
Unajililia,
Ntakupa kitambaa, Ujipanguzie,
Ntaketi kando yako, Mpaka utulie,
Kisha nikuimbie, Mpaka usinzie,
Chorus
Labda ulipenda hao wengine wakakuonyesha kilio,
Yule mwingine wa mwisho akakuuma sikio,
They used you na sasa wanakuita kifagio,
But nipende mimi...
Nipende mimi
Verse 2
You think that, you are lonely,
Coz no one is close to you,
And even those that, are closer, they never bother to fight for you,
Umeapa kamwe, hutawahi penda,
Juu wanaume wote, ni mafisi, mwishoni watakutenda,
Give me a chance to prove your statement is wrong,
Naapa kwa wote wanaoskiza this song
Hook
Labda ulipenda hao wengine wakakuonyesha kilio,kilio kiliiiiioo
Hook
Ukiwa kwenye shiida,
Unajililia,
Ntakupa kitambaa, Ujipanguzie,
Ntaketi kando yako, Mpaka utulie,
Kisha nikuimbie, Mpaka usinzie,
Umeketi, kwa corner, Ukifikiria,
Vile maisha, ya mapenzi, yamekukalia,
Any shoe that, you admire, inawa ndogo kwako dear,
Mpaka sasa, umeamua, peku kutembea,
Umesahau kiatu chako Kipo,
Kimetengezwa tu kwa ajili yako
Ukiwa kwenye shiida,
Unajililia,
Ntakupa kitambaa, Ujipanguzie,
Ntaketi kando yako, Mpaka utulie,
Kisha nikuimbie, Mpaka usinzie,
Labda ulipenda hao wengine wakakuonyesha kilio,
Yule mwingine wa mwisho akakuuma sikio,
They used you na sasa wanakuita kifagio,
But nipende mimi...
Nipende mimi
You think that, you are lonely,
Coz no one is close to you,
And even those that, are closer, they never bother to fight for you,
Umeapa kamwe, hutawahi penda,
Juu wanaume wote, ni mafisi, mwishoni watakutenda,
Give me a chance to prove your statement is wrong,
Naapa kwa wote wanaoskiza this song
Labda ulipenda hao wengine wakakuonyesha kilio,kilio kiliiiiioo
Ukiwa kwenye shiida,
Unajililia,
Ntakupa kitambaa, Ujipanguzie,
Ntaketi kando yako, Mpaka utulie,
Kisha nikuimbie, Mpaka usinzie,
Add your song meanings, interpretations, facts, memories & more to the community.
https://youtu.be/oZt_SPuPmGY
VERSE
Umeketi,
kwa corner, Ukifikiria, Vile maisha, ya mapenzi, yamekukalia, Any shoe that, you admire,
inawa ndogo kwako dear, Mpaka sasa, umeamua, peku kutembea, Umesahau kiatu chako Kipo, Kimetengezwa tu kwa ajili yako
HOOK
Ukiwa kwenye shiida, Unajililia, Ntakupa kitambaa, Ujipanguzie, Ntaketi kando yako, Mpaka utulie, Kisha nikuimbie, Mpaka usinzie
CHORUS
Labda ulipenda, hao wengine wakakuonyesha kilio, Yule mwingine wa mwisho akakuuma sikio, They used you na sasa wanakuita kifagio, But nipende mimi... Nipende mimi
VERSE
You think that, you are lonely, Coz no one is close to you, And even those that, are closer, they never bother to fight for you, Umeapa kamwe, hutawahi penda, Juu wanaume wote, ni mafisi, mwishoni watakutenda, Give me a chance to prove your statement is wrong, Naapa kwa wote wanaoskiza this song
HOOK
Labda ulipenda hao wengine wakakuonyesha kilio, kilio kiliiiiioo
HOOK
Ukiwa kwenye shiida, Unajililia, Ntakupa kitambaa, Ujipanguzie, Ntaketi kando yako, Mpaka utulie, Kisha nikuimbie, Mpaka usinzie,