4 Meanings
Add Yours
Follow
Share
Q&A
Baki Na Mimi Lyrics
Ni vampK 254. Mhhhhh
Kukutazama, Ukitabasamu
Nikama kuwatch movie za afro, siwezi boeka
We ndo kitabu, Mi ndo kalamu
Niliumbwa kwa ajili yako, Kama masai na Rubeka
Ninatamani ningewa yako mavazi
Nikusitiri nikuguse Kila wakati
Ungewa stew ama kasupu ka mbaazi
Ningewa sembe Mokimo ama chapati
Hook
Baki na Mimi kipenzi, nikushughulikie
Kila asubihi, nirauke, ili nikupikie
Nikuogeshe, nikuvishe, mpaka uvutie
Kamba za viatu babe, mi nikufungie
Chorus
(Baki namimi) ntangangana nikuwe chochote unachotamani
(Ooh Baki namimi) nitakonda utavimba , utakopa ntalipa mama
(Baki na Mimi) naapa kukutunza kuliko wako wa zamani
(Ooh Baki na Mimi) ukisota ntaiba , Utapona nna tiba mamaa
Nakama ungewa, mwanasiasa,ninge piga kampeni zako
Nikusifie, kwa giza na mwangaza, mpaka kwa maadui zako
Nitakubusu bila woga hadharani
Ili wajue wewe ndo wangu mwandani
Ungewa kijiko lazma ningewa sahani
Kututenganisha Hilo haliwezekani
Hook
Baki na Mimi kipenzi, nikushughulikie
Kila asubihi, nirauke, ili nikupikie
Nikuogeshe, nikuvishe, mpaka uvutie
Na ukichoka,nikubebe, wivu wasikie
Chorus
(Baki namimi) ntangangana nikuwe chochote unachotamani
(Ooh Baki namimi) nitakonda utavimba , utakopa ntalipa mama
(Baki na Mimi) naapa kukutunza kuliko wako wa zamani
(Ooh Baki na Mimi) ukisota ntaiba , Utapona nna tiba mamaa
Kukutazama, Ukitabasamu
Nikama kuwatch movie za afro, siwezi boeka
We ndo kitabu, Mi ndo kalamu
Niliumbwa kwa ajili yako, Kama masai na Rubeka
Ninatamani ningewa yako mavazi
Nikusitiri nikuguse Kila wakati
Ungewa stew ama kasupu ka mbaazi
Ningewa sembe Mokimo ama chapati
Baki na Mimi kipenzi, nikushughulikie
Kila asubihi, nirauke, ili nikupikie
Nikuogeshe, nikuvishe, mpaka uvutie
Kamba za viatu babe, mi nikufungie
(Baki namimi) ntangangana nikuwe chochote unachotamani
(Ooh Baki namimi) nitakonda utavimba , utakopa ntalipa mama
(Baki na Mimi) naapa kukutunza kuliko wako wa zamani
(Ooh Baki na Mimi) ukisota ntaiba , Utapona nna tiba mamaa
Nikusifie, kwa giza na mwangaza, mpaka kwa maadui zako
Nitakubusu bila woga hadharani
Ili wajue wewe ndo wangu mwandani
Ungewa kijiko lazma ningewa sahani
Kututenganisha Hilo haliwezekani
Baki na Mimi kipenzi, nikushughulikie
Kila asubihi, nirauke, ili nikupikie
Nikuogeshe, nikuvishe, mpaka uvutie
Na ukichoka,nikubebe, wivu wasikie
(Baki namimi) ntangangana nikuwe chochote unachotamani
(Ooh Baki namimi) nitakonda utavimba , utakopa ntalipa mama
(Baki na Mimi) naapa kukutunza kuliko wako wa zamani
(Ooh Baki na Mimi) ukisota ntaiba , Utapona nna tiba mamaa
Add your song meanings, interpretations, facts, memories & more to the community.
https://youtu.be/hpmxiXC0SMg
https://open.spotify.com/track/31ru6LWHR5vPE5F8whv6gv
The songs progression resembles Adele's Someone like you .
Baki na mimi is a Swahili phrase which could be vaguely translated to stay with me.Its an expression of a poor guy to a lover. Leteipa the King shares promises to his lover He vows to protect and love her depsite not being able to offer financial privileges. It's a slow romantic RnB with melodious Afropop strings
LeteipatheKing #Leteipa #VampK254Music #VampK254 #VampK #Vamp #Teipa #TeipasLomon #TeipasLyrics #TeipasSingolio #TeipasTales #staywithme #Bakinamimi #KenyanMusic #254Flow #SwahiliFlavour