2 Meanings
Add Yours
Follow
Share
Q&A

Happy Birthday Lyrics

Verse 1
Imagine tayari nilikuwa nishasahau
Kwamba leo ni siku ya kusherehekea
Nivenye nimewa busy nikihustle dooh
Na picha yako sitaiweka kwa mitandao
Na usidhani kwamba sikuwa nacare
Nivenye safcom nina deni ya soo

Hook
ningelikuwa na pesa ningekubuyia kagari
Nikupe wee my dear
Nikupeleke uingereza
Ukaone umaridadii
Wa dunia
Imagine nimeshindwa, kuafford hata kagari, kakukuwishia
Happy birthday jibambee

Chorus
Happy birthday...eeeeeeh.uoooooh x2

Verse 2
Nakuombea uishi zaidi ya miaka elfu moja
Ndo ujionee wajukuu wako pamoja ma vitukuuu
Uwaeleze tulivyosaidiana, kama masoldier
Na kutoana machozi kama tumela vitunguuu

Hook
ningelikuwa na pesa ningekubuyia kagari
Nikupe wee my dear
Nikupeleke uingereza
Ukaone umaridadii
Wa dunia
Imagine nimeshindwa, kuafford hata kagari, kakukuwishia
Happy birthday jibambee

Chorus
Happy birthday...eeeeeeh.uoooooh x2
Song Info
Submitted by
vampk254 On Jul 22, 2021
2 Meanings

Add your song meanings, interpretations, facts, memories & more to the community.

Add your thoughts...
Cover art for Happy Birthday lyrics by Leteipa the King
Link(s)
Cover art for Happy Birthday lyrics by Leteipa the King

Birthdays are always considered to be a celebrative moments of anyone's life thus associated with happiness. But what of those who can't afford to remember the day let alone buying expensive gifts. This is it.

leteipatheking #vampk254music #leteipa #vampk254 #leteiping #teipa #teipathekk #teipathekingb#teipaslomon #teipastales #teipassingolio #teipassongs #teipaslyrics #leteiped #kuntakinte #lyriclyelevated

My Interpretation
 
Questions and Answers

Ask specific questions and get answers to unlock more indepth meanings & facts.

Ask a question...