1 Meaning
Add Yours
Follow
Share
Q&A
Mwambie Lyrics
Verse 1
Nimechoka kumeza mate, wenzangu wakila nyama
Nachotamani anipakate,
Awe mitchele niwe obama
Siku hizi nimewa chizi
Kila muda nafikiria,
Kile mi nitampatia aingie kwa box
Anajifanya busy
Hataki kunisalimia, anadhani ntamtumia nimtupe kwa choo
Hook:
Mwambie ntafanya chochote ili anikubalie,
Ntaacha dawa na pombe ili afurahie
Ntaenda sunday kanisa Sadaka nimlipie
Nitajifanya sofa aje anikalie
Chorus
(Aeaeaeaaah) mwambie sitaki mwingine
(Aeaeaeaaah) ni yeye tuuu
(Aeaeaeaaah) nitampa chochote pengine
(Aeaeaeaaah) hata nimpeleke majuu
Verse 2
Natamani niwe yake simu, anifinye kila saa
Awe stude niwe mwalimu iwe lazma aniite sir
Huwa nahisi wivu , rafiki wakimkumbatia, wakati sinawahi msalimia nakanyaga kivuli
Na nina maumivu, natamani kumuambia, ila mashindwa vile ntaanzia ameweka kifuli
Hook:
Mwambie ntafanya chochote ili anikubalie,
Ntaacha dawa na pombe ili afurahie
Ntaenda sunday kanisa Sadaka nimlipie
Nitajifanya sofa aje anikalie
Chorus
(Aeaeaeaaah) mwambie sitaki mwingine
(Aeaeaeaaah) ni yeye tuuu
(Aeaeaeaaah) nitampa chochote pengine
(Aeaeaeaaah) hata nimpeleke majuu
Nimechoka kumeza mate, wenzangu wakila nyama
Nachotamani anipakate,
Awe mitchele niwe obama
Siku hizi nimewa chizi
Kila muda nafikiria,
Kile mi nitampatia aingie kwa box
Anajifanya busy
Hataki kunisalimia, anadhani ntamtumia nimtupe kwa choo
Mwambie ntafanya chochote ili anikubalie,
Ntaacha dawa na pombe ili afurahie
Ntaenda sunday kanisa Sadaka nimlipie
Nitajifanya sofa aje anikalie
(Aeaeaeaaah) mwambie sitaki mwingine
(Aeaeaeaaah) ni yeye tuuu
(Aeaeaeaaah) nitampa chochote pengine
(Aeaeaeaaah) hata nimpeleke majuu
Natamani niwe yake simu, anifinye kila saa
Awe stude niwe mwalimu iwe lazma aniite sir
Huwa nahisi wivu , rafiki wakimkumbatia, wakati sinawahi msalimia nakanyaga kivuli
Na nina maumivu, natamani kumuambia, ila mashindwa vile ntaanzia ameweka kifuli
Mwambie ntafanya chochote ili anikubalie,
Ntaacha dawa na pombe ili afurahie
Ntaenda sunday kanisa Sadaka nimlipie
Nitajifanya sofa aje anikalie
(Aeaeaeaaah) mwambie sitaki mwingine
(Aeaeaeaaah) ni yeye tuuu
(Aeaeaeaaah) nitampa chochote pengine
(Aeaeaeaaah) hata nimpeleke majuu
Add your song meanings, interpretations, facts, memories & more to the community.
https://youtu.be/v3g2K_zBitQ